Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 4
  • “Yehova Ni Mchungaji Wangu”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Yehova Ni Mchungaji Wangu”
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • “Yehova ni Mchungaji Wangu”
    Mwimbieni Yehova
  • “Yehova Ni Mchungaji Wangu”
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Upendo Mshikamanifu wa Yehova Unamaanisha Nini Kwako?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2021
  • Washikamanifu Sikuzote
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 4

WIMBO NA. 4

“Yehova Ni Mchungaji Wangu”

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 23)

  1. 1. Yah ni Mchungaji wangu;

    Namfuata yeye.

    Anaujua moyo wangu,

    Sitakosa chochote.

    Penye maji hunileta,

    Ananiburudisha.

    Upendo wake huniongoza

    Nipate pumziko.

    Upendo unaniongoza,

    Nipate pumziko.

  2. 2. Njia zako zapendeza,

    Njia zako za haki.

    Usiniache nipotee;

    Nisije kukuacha.

    Nijapopita bondeni;

    fimbo yaniongoza.

    Sitaogopa lolote kamwe,

    Ninakutegemea.

    Siogopi lolote kamwe,

    Ninakutegemea.

  3. 3. Ndiwe mchungaji wangu!

    Nakufuata wewe.

    Wanitegemeza daima,

    Mahitaji wanipa.

    Wategemeka hakika,

    Kama unavyoishi.

    Na fadhili zako za upendo,

    Zinifuatilie.

    Fadhili zako za upendo,

    Zinifuatilie.

(Ona pia Zab. 28:9; 80:1.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki