Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 19
  • Mlo wa Jioni wa Bwana

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mlo wa Jioni wa Bwana
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Mlo wa Jioni wa Bwana
    Mwimbieni Yehova
  • Chakula cha Jioni cha Bwana
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kufanikisha Maisha Yetu
    Mwimbieni Yehova
  • Muujiza wa Uhai
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 19

WIMBO NA. 19

Mlo wa Jioni wa Bwana

Makala Iliyochapishwa

(Mathayo 26:26-30)

  1. 1. Yehova uliye mbinguni,

    Ni usiku wa pekee!

    Usiku huu kale, ulionyesha,

    Upendo, haki, hekima.

    Mwana-Kondoo wa Pasaka,

    Kawalinda watu wako.

    Karne nyingi baadaye Kristo Yesu,

    Akatoa uhai wake.

  2. 2. Mkate huu na divai,

    Vinatukumbusha mengi.

    Ulitoa zawadi ya Mwana wako,

    Ilikugharimu sana.

    Twafanya Ukumbusho huu;

    Kumkumbuka Mwanao;

    Jinsi kifo chake kilivyoandaa,

    Ukombozi kutoka kifo.

  3. 3. Mbele zako tumekutana,

    Umetualika kwako.

    Twakusifu wewe kwa upendo wako,

    Twaheshimu jina lako.

    Ukumbusho wakutukuza,

    Watuchochea moyoni.

    Tufuate hatua za Kristo Yesu,

    Kisha uzima wa milele.

(Ona pia Luka 22:​14-20; 1 Kor. 11:​23-26.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki