Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 26
  • Mlinitendea Mimi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mlinitendea Mimi
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Mlinitendea Mimi
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Sala ya Mtu wa Hali ya Chini
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Sala ya Mtu wa Hali ya Chini
    Mwimbieni Yehova
  • Nipe Ujasiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 26

Wimbo Na. 26

Mlinitendea Mimi

Makala Iliyochapishwa

(Mathayo 25:34-40)

  1. 1. Kondoo wengine, wanatumikia

    Bega kwa bega na ndugu za Kristo.

    Yote yafanywayo

    kwa ajili yao,

    Yesu anasema atawalipa.

    (KORASI)

    “Mkiwafariji, mwanifariji.

    Mlipowatunza, mlinitunza.

    Bidii yenu haikuwa bure.

    Mlipotenda mema yoyote.

    Mlinitendea mema na mimi.”

  2. 2. “Mlinifariji, iwe njaa, kiu.

    Mahitaji yangu, mliandaa.”

    “Bwana tulifanya

    yote hayo lini? ”

    Ndipo Bwana atakapowajibu:

    (KORASI)

    “Mkiwafariji, mwanifariji.

    Mlipowatunza, mlinitunza.

    Bidii yenu haikuwa bure.

    Mlipotenda mema yoyote.

    Mlinitendea mema na mimi.”

  3. 3. “Kwangu mmekuwa, washikamanifu,

    Mnapohubiri na ndugu zangu.”

    Ndipo Kristo Yesu

    atawaambia

    “Urithini uzima wa milele.”

    (KORASI)

    “Mkiwafariji, mwanifariji.

    Mlipowatunza, mlinitunza.

    Bidii yenu haikuwa bure.

    Mlipotenda mema yoyote.

    Mlinitendea mema na mimi.”

(Ona pia Met. 19:17; Mt. 10:​40-42; 2 Tim. 1:​16, 17.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki