Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 64
  • Kuyashiriki Mavuno kwa Furaha

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuyashiriki Mavuno kwa Furaha
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Kuyashiriki Mavuno kwa Furaha
    Mwimbieni Yehova
  • Kuyashiriki Mavuno kwa Furaha
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kazi Yetu ya Upendo
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kazi Yetu ya Upendo
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 64

WIMBO NA. 64

Kuyashiriki Mavuno kwa Furaha

Makala Iliyochapishwa

(Mathayo 13:1-23)

  1. 1. Twaishi siku za mavuno,

    Pendeleo kubwa sana.

    Mashamba ya ngano tayari,

    Twashiriki kuyavuna.

    Kristo ameweka mfano;

    Anaelekeza kazi.

    Tuna pendeleo kubwa sana,

    Tufanye kazi ya Bwana.

  2. 2. Mungu, jirani, tukipenda,

    Tutachochewa kutenda.

    Tuna kazi muhimu sana,

    Mwisho u karibu sana.

    Tuzidipo kufanya kazi,

    Tutakuwa na furaha.

    Kazi ya Ufalme tushiriki,

    Mungu atatubariki.

(Ona pia Mt. 24:13; 1 Kor. 3:9; 2 Tim. 4:2.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki