Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 96
  • Kitabu cha Mungu Ni Hazina

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kitabu cha Mungu Ni Hazina
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Kitabu cha Mungu Ni Hazina
    Mwimbieni Yehova
  • Kitabu cha Mungu Mwenyewe—Hazina
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Shukrani kwa Ajili ya Subira ya Kimungu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Mtafute Mungu Upate Ukombozi
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 96

WIMBO NA. 96

Kitabu cha Mungu Ni Hazina

Makala Iliyochapishwa

(Methali 2:1)

  1. 1. Kuna kitabu ambacho huwapa,

    Watu amani na tumaini.

    Mawazo yake yana nguvu nyingi;

    Kinafumbua macho ya watu.

    Ni Biblia takatifu ya Mungu.

    Iliandikwa kale na watu.

    Waliompenda sana Yehova,

    Walichochewa na roho yake.

  2. 2. Waliandika kuhusu ’umbaji,

    Ulimwengu ulivyotokea.

    Ukamilifu wa mtu mwanzoni.

    Paradiso ilivyopotea.

    Pia kuhusu malaika mwovu,

    Aliyeipinga enzi kuu.

    Kukawa dhambi, kifo, na huzuni,

    Ushindi wa Yah waja upesi.

  3. 3. Leo twaishi pindi ya pekee.

    Ufalme wa Mungu watawala.

    Twatangaza habari za Ufalme,

    Na baraka zitakazokuja.

    Biblia inazo habari njema;

    Ni karamu tele ya kiroho.

    Huwapa watu wote tumaini;

    Hiyo ni hazina kwelikweli.

(Ona pia 2 Tim. 3:16; 2 Pet. 1:21.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki