Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 105
  • “Mungu Ni Upendo”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Mungu Ni Upendo”
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • “Mungu ni Upendo”
    Mwimbieni Yehova
  • Maana ya Kumpenda Jirani Yetu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
  • “Endeleeni Kutembea Katika Upendo”
    Mkaribie Yehova
  • Mpende Mungu Anayekupenda
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 105

WIMBO NA. 105

“Mungu Ni Upendo”

Makala Iliyochapishwa

(1 Yohana 4:7, 8)

  1. 1. Mungu ni mwenye upendo,

    Hutaka tumuige.

    Upendo tukiwa nao,

    Tutatenda mema tu.

    Ndiyo siri ya maisha;

    Maisha ya Wakristo.

    Upendo kama wa Kristo,

    Kamwe hautashindwa.

  2. 2. Kupenda kweli na Mungu;

    Hutuchochea sana.

    Husamehe tukosapo;

    Nguvu anatutia.

    Upendo hauna wivu;

    Huvumilia yote.

    Na tupende ndugu zetu,

    Pasipo unafiki.

  3. 3. ’Siwe na kinyongo kamwe;

    Na kisikutawale.

    Mtegemee Yehova;

    Ufwate amri zake:

    Penda Mungu na jirani,

    Penda toka moyoni.

    Na tuonyeshe upendo

    Upendo wa Kikristo.

(Ona pia Marko 12:​30, 31; 1 Kor. 12:31–13:8; 1 Yoh. 3:23.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki