Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 148
  • Yehova Huokoa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Huokoa
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova Huokoa
    Mwimbieni Yehova
  • Yehova, Mwandalizi wa Wokovu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Nipe Ujasiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Tutaokokaje?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 148

WIMBO NA. 148

Yehova Huokoa

Makala Iliyochapishwa

(2 Samweli 22:1-8)

  1. 1. Yehova Mungu wetu uliye hai.

    Kazi zako kuu,

    mbingu na dunia.

    Ndiwe Mungu pekee, Mweza-yote

    ​—milele.

    Wakujue wewe.

    (KORASI)

    Yehova huokoa wa’minifu.

    Wamwone kuwa Mungu wa nguvu nyingi.

    Kwa bidii na ujasiri

    sisi sote,

    Twatangaza jina kuu

    lake Yehova.

  2. 2. Japo kuna kifo, nakutegemea,

    “Yehova unipe,

    ujasiri, nguvu.”

    Toka hekalu lako,

    usikie, ‘Nifiche,

    Niokoe, Mungu.’

    (KORASI)

    Yehova huokoa wa’minifu.

    Wamwone kuwa Mungu wa nguvu nyingi.

    Kwa bidii na ujasiri

    sisi sote,

    Twatangaza jina kuu

    lake Yehova.

  3. 3. Utakaponguruma

    kutoka juu.

    Maadui wako,

    waingiwe hofu.

    Wakutumikiao, wafurahi.

    Wajue

    U Mwokozi wetu.

    (KORASI)

    Yehova huokoa wa’minifu.

    Wamwone kuwa Mungu wa nguvu nyingi.

    Kwa bidii na ujasiri

    sisi sote,

    Twatangaza jina kuu

    lake Yehova.

(Ona pia Zab. 18:​1, 2; 144:​1, 2.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki