Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 151
  • Atawaita

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Atawaita
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Ataita
    Mwimbieni Yehova
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Uzima wa Milele Umeahidiwa
    Mwimbieni Yehova
  • Uzima wa Milele Umeahidiwa
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 151

WIMBO NA. 151

Atawaita

Makala Iliyochapishwa

(Ayubu 14:13-15)

  1. 1. Lo! Uhai ni kama ukungu,

    Leo, kesho haupo.

    Watokea kisha watoweka.

    Huzuni kwa wapendwa.

    Mtu akifa, je, ataishi?

    Mungu ameahidi:

    (KORASI)

    Yehova atawaita

    Watoke na kuishi.

    Kwani anatamani,

    Kazi ya mikonoye.

    Usiwe na shaka kamwe,

    Mungu atamwinua,

    Kisha twishi milele,

    Tu mali yake yeye.

  2. 2. Rafikize Yehova wakifa,

    Hawasahau kamwe.

    Walalao katika Kaburi,

    Watainuka tena.

    Tufurahie uzima nao,

    Duniani milele.

    (KORASI)

    Yehova atawaita

    Watoke na kuishi.

    Kwani anatamani,

    Kazi ya mikonoye.

    Usiwe na shaka kamwe,

    Mungu atamwinua,

    Kisha twishi milele,

    Tu mali yake yeye.

(Ona pia Yoh. 6:40; 11:​11, 43; Yak. 4:14.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki