Kusanyiko la Mzunguko la Mashahidi wa Yehova
Programu ya 2016-2017
Kichwa: Endelea Kukuza Imani Yako kwa Yehova!—Ebr. 11:6.
Kipindi cha Asubuhi
3:30 Muziki
3:40 Wimbo Na. 12 na Sala
3:50 “Iweni na Imani Katika Mungu,” Chini ya Hali Zote
4:05 Mfululizo: Mifano Inayochochea Imani kwa Yehova
Ngao
Baba
Mwamba
Mchungaji
5:05 Wimbo Na. 22 na Matangazo
5:15 “Unisaidie Mahali Ambapo Ninahitaji Imani!”
5:30 Wakfu na Ubatizo
6:00 Wimbo Na. 7
Kipindi cha Alasiri
7:10 Muziki
7:20 Wimbo Na. 54 na Sala
7:30 Hotuba ya Watu Wote: Imani ya Kweli—Ni Nini, na Inaonyeshwaje?
8:00 Muhtasari wa Mnara wa Mlinzi
8:30 Wimbo Na. 30 na Matangazo
8:40 Mfululizo: ‘Ondoa Dhambi Ambayo Hututatanisha kwa Urahisi’
Yehova Ataondoa Uovu
Yehova Atawaandalia Mahitaji Yenu
Yehova Atawafufua Wafu
9:40 Pata Thawabu ya Kuwa na Imani ya Kweli
10:15 Wimbo Na. 43 na Sala