Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • rr kur. 88-89
  • Unabii Kumhusu Masihi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Unabii Kumhusu Masihi
  • Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • 1. “Yule Aliye na Haki ya Kisheria” (Ezekieli 21:25-27)
  • 2. “Mtumishi Wangu . . . Atawalisha na Kuwa Mchungaji Wao” (Ezekieli 34:22-24)
  • 3. “Mfalme Mmoja Atawatawala Wote” Milele
  • “Nitamweka Mchungaji Mmoja”
    Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
  • Ufalme wa Mungu ‘Waja’—Wakati Gani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
  • Jinsi ya Kutafuta Maandiko Katika Biblia Yako
    Habari Zaidi
  • 1914—Mwaka Muhimu Katika Unabii wa Biblia
    Biblia Inafundisha Nini Hasa?
Pata Habari Zaidi
Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
rr kur. 88-89

SANDUKU LA KUFUNDISHIA LA 8B

Unabii Kumhusu Masihi

Makala Iliyochapishwa

1. “Yule Aliye na Haki ya Kisheria” (Ezekieli 21:25-27)

NYAKATI ZA MATAIFA (607 K.W.K.–1914 W.K.)

  1. 607 K.W.K.​—Sedekia ang’olewa mamlakani

  2. 1914 W.K.​—Yesu, yule aliye na “haki ya kisheria” ya kupokea Ufalme wa Kimasihi, awekwa kuwa Mfalme, na kuwa Mtawala na Mchungaji

Angalia sura ya 8, fungu la 12-15

2. “Mtumishi Wangu . . . Atawalisha na Kuwa Mchungaji Wao” (Ezekieli 34:22-24)

SIKU ZA MWISHO (1914 W.K.–BAADA YA HAR-MAGEDONI)

  1. 1914 W.K.​—Yesu, yule aliye na “haki ya kisheria” ya kupokea Ufalme wa Kimasihi, awekwa kuwa Mfalme, na kuwa Mtawala na Mchungaji

  2. 1919 W.K.​—Mtumwa mwaminifu na mwenye busara awekwa rasmi ili kuchunga kondoo wa Mungu

    Watiwa mafuta waaminifu waunganishwa chini ya Mfalme wa Kimasihi; baadaye wanaunganishwa na umati mkubwa

  3. BAADA YA HAR-MAGEDONI​—Baraka za utawala wa Mfalme zitadumu milele

Angalia sura ya 8, fungu la 18-22

3. “Mfalme Mmoja Atawatawala Wote” Milele

SIKU ZA MWISHO (1914 W.K.–BAADA YA HAR-MAGEDONI)

  1. 1914 W.K.​—Yesu, yule aliye na “haki ya kisheria” ya kupokea Ufalme wa Kimasihi, awekwa kuwa Mfalme, na kuwa Mtawala na Mchungaji

  2. 1919 W.K.​—Mtumwa mwaminifu na mwenye busara awekwa rasmi ili kuchunga kondoo wa Mungu

    Watiwa mafuta waaminifu waunganishwa chini ya Mfalme wa Kimasihi; baadaye wanaunganishwa na umati mkubwa

  3. BAADA YA HAR-MAGEDONI​—Baraka za utawala wa Mfalme zitadumu milele

Angalia sura ya 8, fungu la 23-26

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki