Usife Moyo Katika Kutimiza Sheria ya Kristo!
ASUBUHI
3:40 Muziki
3:50 Wimbo Na. 17 na Sala
4:00 Sheria ya Kristo Ni Nini?
4:15 Timiza Sheria ya Kristo Ukiwa Faraghani
4:30 Kutimiza Sheria ya Kristo Katika Huduma ya Shambani
4:55 Wimbo Na. 70 na Matangazo
5:05 Ubora wa Sheria ya Kristo
5:35 Wakfu na Ubatizo
6:05 Wimbo Na. 51
ALASIRI
7:20 Muziki
7:30 Wimbo Na. 76
7:35 Mambo Yaliyoonwa
7:45 Muhtasari wa Mnara wa Mlinzi
8:15 Timiza Sheria ya Kristo Katika Familia
8:30 Timiza Sheria ya Kristo Unapokuwa Shuleni
8:45 Wimbo Na. 35 na Matangazo
8:55 Mpendane, Kama Vile Yesu Alivyowapenda
9:55 Wimbo Na. 13 na Sala