Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • th somo la 15 uku. 18
  • Kuzungumza kwa Usadikisho

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuzungumza kwa Usadikisho
  • Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
  • Habari Zinazolingana
  • Kuzungumza kwa Usadikisho
    Faidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Shauku
    Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
  • Kutoa Hotuba kwa Njia ya Maongezi
    Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
  • Kuwaelimisha Wasikilizaji
    Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
Pata Habari Zaidi
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
th somo la 15 uku. 18

SOMO LA 15

Kuzungumza kwa Usadikisho

Andiko lililotajwa

1 Wathesalonike 1:5

MUHTASARI: Onyesha kwa uthabiti kwamba unaamini yale unayosema ni kweli na ni muhimu.

JINSI YA KUFANYA HIVYO:

  • Tayarisha kikamili. Jifunze habari hiyo mpaka uelewe mambo makuu kikamili na jinsi Maandiko yanavyothibitisha mambo hayo kuwa ya kweli. Jaribu kueleza mawazo makuu ya habari yako kwa maneno machache rahisi. Kazia fikira jinsi habari hiyo itakavyowasaidia wasikilizaji wako. Sali upate roho takatifu.

    Dokezo linalofaa

    Jizoeze kutoa hotuba yako kwa sauti mpaka uizoee na uboreshe jinsi unavyoitoa.

  • Tumia maneno yanayoonyesha usadikisho. Badala ya kurudia maneno yaliyo kwenye chapisho, tumia maneno yako mwenyewe. Chagua maneno yanayoonyesha kwamba una uhakika na mambo unayosema.

  • Zungumza kwa mkazo na unyoofu. Zungumza kwa sauti inayofaa. Ikiwa desturi za kwenu zinaruhusu, watazame wasikilizaji.

    Dokezo linalofaa

    Usifikiri kwamba kuzungumza kwa usadikisho kunamaanisha kuzungumza bila busara, kwa ushupavu, au kwa kuwalazimisha wengine. Hata unapozungumza kwa mkazo, wasihi wasikilizaji wako kwa upendo.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki