Jumapili
“MWENDELEE KUJITUNZA KATIKA UPENDO WA MUNGU”—YUDA 21
ASUBUHI
3:20 Video ya Muziki
3:30 Wimbo Na. 106 na Sala
3:40 MFULULIZO: Kumbuka Jinsi Upendo Ulivyo
Ni Wenye Subira na Fadhili (1 Wakorintho 13:4)
Hauna Wivu na Haujigambi (1 Wakorintho 13:4)
Haujivuni na Haujiendeshi Bila Adabu (1 Wakorintho 13:4, 5)
Hautafuti Faida Zake Wenyewe na Hauchokozeki (1 Wakorintho 13:5)
Hauweki Hesabu ya Ubaya na Haushangilii Ukosefu wa Uadilifu (1 Wakorintho 13:5, 6)
Hushangilia Pamoja na Kweli na Huhimili Mambo Yote (1 Wakorintho 13:6, 7)
Huamini Mambo Yote na Hutumaini Mambo Yote (1 Wakorintho 13:7)
Huvumilia Mambo Yote; Upendo Haushindwi Kamwe (1 Wakorintho 13:7, 8)
5:10 Wimbo Na. 150 na Matangazo
5:20 HOTUBA YA WATU WOTE: Upendo wa Kweli Katika Ulimwengu Uliojaa Chuki—Unapatikana Wapi? (Yohana 13:34, 35)
5:50 Muhtasari wa Mnara wa Mlinzi
6:20 Wimbo Na. 1 na Mapumziko
ALASIRI
7:35 Video ya Muziki
7:45 Wimbo Na. 124
7:50 SINEMA: Simulizi la Yosia: Mpende Yehova; Chukia Mabaya—Sehemu ya 2 (2 Wafalme 22:3-20; 23:1-25; 2 Mambo ya Nyakati 34:3-33; 35:1-19)
8:20 Wimbo “Nipe Ujasiri” na Matangazo
8:30 ‘Tafakari kwa Makini Matendo ya Yehova ya Upendo Mshikamanifu’ (Zaburi 107:43; Waefeso 5:1, 2)
9:30 Wimbo Mpya Uliotungwa na Sala ya Mwisho