‘Mngojee Yehova kwa Hamu’!
Asubuhi
3:30 Muziki
3:40 Wimbo Na. 88 na Sala
3:50 ‘Mngojee Yehova kwa Hamu’—Jinsi Gani?
4:05 Mfululizo: Waige Wale Waliongojea kwa Hamu
• Habakuki
• Yohana
• Ana
5:05 Wimbo Na. 142 na Matangazo
5:15 Unangojea Nini?
5:30 Wakfu na Ubatizo
6:00 Wimbo Na. 28
Alasiri
7:10 Muziki
7:20 Wimbo Na. 54 na Sala
7:30 Hotuba ya Watu Wote: Je, Subira Bado ni Sifa Yenye Thamani?
8:00 Muhtasari wa Mnara wa Mlinzi
8:30 Wimbo Na. 143 na Matangazo
8:40 Mfululizo: Mngojee Yehova . . .
• Unapohisi Upweke
• Unapofanya Makosa
• Waovu Wanapofanikiwa
9:40 “Kuna Thawabu kwa Ajili ya Mwadilifu”
10:15 Wimbo Na. 140 na Sala