Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • it uku. 22
  • Yehova-Shalomu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova-Shalomu
  • Ufahamu wa Kina wa Maandiko
  • Habari Zinazolingana
  • “Upanga wa Yehova na wa Gideoni!”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2005
  • Wazee—Jifunzeni Kutokana na Mfano wa Gideoni
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
  • Gideoni na Wanaume Wake 300
    Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
  • Gideoni Aliwashinda Wamidiani
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
Pata Habari Zaidi
Ufahamu wa Kina wa Maandiko
it uku. 22

YEHOVA-SHALOMU

(Yehova-shalomu) [Yehova Ni Amani].

Jina lililopewa madhabahu ambayo Gideoni alijenga huko Ofra, magharibi ya Yordani. Baada ya kumwona malaika wa Yehova, Gideoni aliogopa kwamba atakufa. Lakini alihakikishiwa hivi: “Uwe na amani. Usiogope; hutakufa.” Kwa shukrani, Gideoni alijenga madhabahu hiyo, si kwa ajili ya kutoa dhabihu bali ili iwe ukumbusho kwa Yehova.​—Amu 6:22-24.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki