“Theluji Wakati wa Mavuno”
● Katika Mithali 25:13, furaha ambayo mjumbe mwaminifu analetea wale wanaomtuma inalinganishwa na “baridi ya theluji wakati wa mavuno.” Ni wazi kwamba hiyo inamaanisha baridi yenye kuburudisha ya kinywaji kilichotiwa theluji ya milimani, ambacho chaweza kufurahiwa sana na wale wanaofanya kazi ngumu katika mavuno.