Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w80 9/15 uku. 24
  • Ufahamu Katika Habari

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ufahamu Katika Habari
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • ‘Utii Wao wa Kwanza’
  • Mambo Unayopaswa Kujua Kuhusiana na Kuokoa Nishati
    Amkeni!—2017
  • Kupata Chanzo cha Nishati Yote
    Amkeni!—2005
  • Je, Ulimwengu Ulitokea Wenyewe Tu, Au Uliumbwa?
    Amkeni!—1999
  • Uwezo wa Wanyama wa Kutumia Nishati Vizuri
    Je, Ni Kazi ya Ubuni?
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
w80 9/15 uku. 24

Ufahamu Katika Habari

‘Utii Wao wa Kwanza’

● Mleta habari za magazeti Steve Mitchell wa gazeti “The Post” katika Palm Beach, Florida (U.S.A.), alisema hivi karibuni kwamba Mashahidi wa Yehova ni ‘‘mojayapo ya madhehebu ya kidini inayoteswa sana ulimwenguni” kwa sababu, kwa mfano, hawasaluti [hawasalimu] bendera ya taifa lo lote. ‘‘Huo si msimamo unaopendwa na watu wengi,” akasema, “lakini angaa taifa hili msingi wake ulikuwa uhuru wa kidini. Au ndivyo ilivyopaswa kuwa, je! wakumbuka?”

Mitchell alisema vilevile hivi: “Wanalipa kodi zao. Wao ni baadhi ya wananchi walio wanyofu zaidi katika Jamhuri [hii]. Walakini wanamtii Mungu kwanza, si nchi. Ijapokuwa sikubaliani na imani zao, naona sana kwamba haki yao ya kuzifuata ni sehemu kubwa ya yote yanayowakilishwa na nchi hii.”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki