Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w82 3/1 uku. 19
  • Ni Nini Maana ya Kuwa Mshiriki wa Kanisa?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ni Nini Maana ya Kuwa Mshiriki wa Kanisa?
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
  • Habari Zinazolingana
  • Wewe Unaijua Biblia Vizuri Jinsi Gani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1991
  • Kitabu Kinachopuuzwa na Vijana Wengi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2001
  • Shida ya Kidini Katika Uholanzi
    Amkeni!—1993
  • Kuutazama Ulimwengu
    Amkeni!—1997
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
w82 3/1 uku. 19

Ni Nini Maana ya Kuwa Mshiriki wa Kanisa?

“Kungali kuna kusadiki na kushiriki kwingi kubaya,” ndivyo anavyoeleza mchunguzi mmoja katika Chama cha Seminario ya Hartford kuhusu matokeo ya uchunguzi uliofanywa katika eneo kubwa la Boston, Massachusetts. Asilimia 90 ya watu waliohojiwa walisema wanamwamini Mungu na asilimia zaidi ya 70 walisema wao ni washiriki wa kanisa mojalapo.

Hata hivyo, gazeti “Globe” la Boston, ambalo liliudhamini uchunguzi huo, linasema kwamba “matengenezo ya dini yanaonekana yana uvutano mdogo juu ya watu mmoja mmoja.” Kwa sababu gani? Ni asilimia 5 peke yao kati ya watu wote waliosema wangemwendea kiongozi wa kidini awape shauri wakiwa “katika taabu kubwa,” na ni asilimia 7 peke yake kati ya washiriki wa kanisa waliosema wangeweza kufanya hivyo.

Vilevile uchunguzi huo unaonyesha kwamba “wengi sana kati ya washiriki wa kanisa hawaisomi Biblia, hawatoi sala wakati wa chakula na hawahudhurii ibada kwa ukawaida.” Kati ya wanaodai kuwa Wakatoliki, ni asilimia 11 tu wanaoisoma Biblia kwa ukawaida na ni asilimia 8 tu wanaoitumia iwe uongozi. Kwa Waprotestanti, hesabu zinazofanana na hizo ni asilimia 23 na asilimia 15.

Biblia ilitabiri kwamba kungekuwako wakati ambao wanadamu wangekuwa “wenye mfano wa utauwa” lakini ‘wakiikana nguvu yake.” Hivyo ndivyo Paulo anavyowasimulia wengi wa Wakristo Wa kujidai wakati wa “siku za mwisho.” (2 Tim. 3:1-5) Je! unaweza kuliona jambo hilo wazi?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki