Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w14 3/1 uku. 16
  • Majibu ya maswali ya Biblia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Majibu ya maswali ya Biblia
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Habari Zinazolingana
  • Majibu ya Maswali ya Biblia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Kwa Nini Yesu Aliteseka na Kufa?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2016
  • Swali la 2: Ni Nini Kitakachonipata Nitakapokufa?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Kifo na Ufufuo wa Yesu—Jinsi Unavyoweza Kufaidika
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 3/1 uku. 16
Watu wakifurahia kuwa ufuoni mwa bahari  na  watoto wakinaogelea Katika paradiso

MAAJIBU YA MASWALI YA BIBLIA

Tunafaidikaje kutokana na kifo cha Yesu?

Mungu alipowaumba wanadamu, alikusudia waishi milele duniani bila kusumbuliwa na magonjwa au kifo. Hata hivyo, mwanamume wa kwanza, Adamu, hakumtii Muumba na hivyo akapoteza tumaini la kuishi milele. Tukiwa wazao wa Adamu, tumerithi kifo kutoka kwake. (Waroma 5:8, 12; 6:23) Yehova, Mungu wa kweli alimtuma Mwana wake, Yesu, duniani ili afe na kuwakomboa wanadamu.​—Soma Yohana 3:16.

Yesu alikufa ili wanadamu waweze kupata uzima wa milele. Hebu wazia kuishi milele duniani.

Kifo cha Yesu kinatuwezesha kupata msamaha wa dhambi na kuwa na tumaini la kuishi milele. Biblia inaeleza jinsi hali itakavyokuwa duniani wakati ambapo hakutakuwa na uzee, magonjwa, na kifo.​—Soma Isaya 25:8; 33:24; Ufunuo 21:4, 5.

Tunapaswa kukumbukaje kifo cha Yesu?

Jioni iliyotangulia kifo chake, Yesu aliwaambia wafuasi wake wakumbuke kifo chake kwa kufanya sherehe ndogo. Kukumbuka kifo cha Yesu kwa njia hiyo kila mwaka hutupatia nafasi ya kutafakari jinsi Yesu na Yehova wanavyowapenda wanadamu.​—Soma Luka 22:19, 20; 1 Yohana 4:9, 10.

Mwaka huu, Ukumbusho wa kifo cha Yesu utakuwa siku ya Jumatatu, Aprili 14, baada ya jua kutua. Unaalikwa kukusanyika pamoja na Mashahidi wa Yehova katika eneo lenu.​—Soma Waroma 1:11, 12.

Kwa habari zaidi, ona sura ya 4 na ya 5 ya kitabu hiki Biblia Inafundisha Nini Hasa? kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Unaweza kukipakua kwenyewww.jw.org/sw

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki