Utangulizi
MAISHA YATAKUWAJE WAKATI UJAO?
Je, umewahi kujiuliza maisha yako na ya familia yako yatakuwaje wakati ujao? Biblia inasema:
“Waadilifu wataimiliki dunia, nao wataishi humo milele.”—Zaburi 37:29.
Toleo hili la Mnara wa Mlinzi litakusaidia kujua kusudi zuri la Mungu la kuiumba dunia na wanadamu, na pia kile unachopaswa kufanya ili ufaidike kutokana na kusudi hilo.