Mikutano ya Utumishi wa Shambani
APRILI 4-10
Tunaweza kuwatiaje moyo wahudhuriaji wa Ukumbusho
1. Wawe na funzo la Biblia?
2. Wahudhurie mikutano kwa ukawaida?
APRILI 11-17
Tutakazia nini
1. Tunapotumia Kichwa cha Mazungumzo cha sasa?
2. Tunapotoa uandikishaji wa Mnara wa Mlinzi?
APRILI 18-24
Kuhuburi kwa ujasiri
1. Kwa sababu gani tunahitaji kuwa wajasiri, na bado tuwe wenye busara?
2. Tunaweza kuwaambia nini watu wanaosema kwamba tunafanya kazi nzuri?
3. Eleza Ezekieli 33:8, 9.
APRILI 25-MEI 1
Trakti
1. Rudieni vichwa vya trakti kifupi.
2. Kwa sababu gani tuwe na chache nyakati zote?
3. Tunaweza kuzitumia lini na wapi?