Mikutano ya Utumishi wa Shambani
JANUARI 2-8
Matangulizi yenye matokeo
1. Kwa nini inakupasa usema mambo hususa?
2. Kwa nini urafiki ni wa maana?
3. Unawezaje kuhusisha ndani mwenye nyumba
JANUARI 9-15
Elekeza uangalifu kwenye Biblia
1. Kwa nini kuelekeza msikilizaji kwenye Biblia?
2. Kwa nini kuwekea mpaka mambo ya kuzungumzia?
3. Kwa nini kueleza sababu ya kutumia maandiko
JANUARI 16-22
Kusababu pamoja na mwenye nyumba
1. Unawezaje kuweka mambo mnayokubaliana?
2. Hilo laweza kufanywaje?
3. Kwa ni kufikiria kituo-rai cha mwenye nyumba?
JANUARI 23-29
Dhihirisha idili
1. Kwa nini hilo ni la maana?
2. Idili inaweza kuonyeshwaje?
JANUARI 30-FEBRUARI 5
Utatumiaje yale uliyojifunza kwenye mkusanyiko katika
1. Huduma ya nyumba kwa nyumba?
2. Kufanya ziara za kurudia na kuongoza mafunzo ya Biblia?