Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Januari uku. 3
  • Jitihada Nyingi Zinahitajiwa Ili Kuendeleza Ibada ya Kweli

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Jitihada Nyingi Zinahitajiwa Ili Kuendeleza Ibada ya Kweli
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Habari Zinazolingana
  • Ametupa Uhuru wa Kuchagua
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
  • Mfalme Apata Thawabu kwa Sababu ya Imani Yake
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
  • Mfano wa Kuigwa—Hezekia
    Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi, Buku la 2
  • “Aliendelea Kushikamana na Yehova”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Januari uku. 3

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 2 MAMBO YA NYAKATI 29-32

Jitihada Nyingi Zinahitajiwa Ili Kuendeleza Ibada ya Kweli

Makala Iliyochapishwa
Hekalu la Sulemani jijini Yerusalemu

Hezekia alikuwa mwenye bidii katika kurudisha ibada ya kweli

29:10-17

  • 746-716 K.W.K.

    Utawala wa Hezekia 746-716 K.W.K.

  • NISANI

    • Siku ya 1-8: Hekalu lasafishwa

    • Siku ya 9-16: Kusafishwa kwa hekalu kwakamilika

    • Mwanzo wa kurudishwa kwa ibada ya kweli na kupatanishwa kwa taifa lote la Israeli

  • 740 K.W.K.

    Kuanguka kwa Samaria

Hezekia anawakaribisha watu wote wenye mioyo minyoofu wakusanyike kwa ajili ya ibada

30:5, 6, 10-12

  • Wakimbiaji walitumwa kupeleka barua za sherehe ya Pasaka kotekote, kutoka Beer-sheba hadi Dani

  • Ingawa wengine waliwadhihaki, wengi walikubali mwaliko huo

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki