HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 2 MAMBO YA NYAKATI 29-32
Jitihada Nyingi Zinahitajiwa Ili Kuendeleza Ibada ya Kweli
Makala Iliyochapishwa
Hezekia alikuwa mwenye bidii katika kurudisha ibada ya kweli
746-716 K.W.K.
Utawala wa Hezekia 746-716 K.W.K.
NISANI
Siku ya 1-8: Hekalu lasafishwa
Siku ya 9-16: Kusafishwa kwa hekalu kwakamilika
Mwanzo wa kurudishwa kwa ibada ya kweli na kupatanishwa kwa taifa lote la Israeli
740 K.W.K.
Kuanguka kwa Samaria
Hezekia anawakaribisha watu wote wenye mioyo minyoofu wakusanyike kwa ajili ya ibada
Wakimbiaji walitumwa kupeleka barua za sherehe ya Pasaka kotekote, kutoka Beer-sheba hadi Dani
Ingawa wengine waliwadhihaki, wengi walikubali mwaliko huo