Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Februari uku. 7
  • Esta Aliwatetea Watu wa Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Esta Aliwatetea Watu wa Mungu
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Habari Zinazolingana
  • Aliwatetea Watu wa Mungu
    Igeni Imani Yao
  • Aliwatetea Watu wa Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Alitenda kwa Hekima, Ujasiri, na Bila Ubinafsi
    Igeni Imani Yao
  • Alitenda kwa Hekima, Ujasiri, na Bila Ubinafsi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Februari uku. 7

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ESTA 1-5

Esta Aliwatetea Watu wa Mungu

Esta alionyesha imani yenye nguvu na ujasiri alipowatetea watu wa Mungu

  • Mtu yeyote ambaye alienda kumwona mfalme bila kuitwa, angehatarisha uhai wake. Esta hakuwa amealikwa na mfalme kwa siku 30

  • Mfalme Ahasuero ambaye anadhaniwa kuwa Shasta wa Kwanza, alikuwa mwenye hasira kali sana. Pindi moja, aliagiza mwanamume fulani akatwe vipande viwili na mwili wake uwekwe mahali ambapo ungeonekana ili kuwa onyo kwa wengine. Pia, Vashti alipokosa kumtii alimwondolea cheo cha kuwa malkia

  • Esta alilazimika kujitambulisha kuwa alikuwa Myahudi na kumthibitishia mfalme, kwamba yeye, yaani mfalme, alikuwa amesalitiwa na mshauri wake mwenyewe aliyemtumaini

Malkia Esta anagusa ncha ya fimbo ya enzi ambayo Mfalme Ahasuero anamnyooshea akiwa ndani ya nyumba ya kifalme
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki