Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Aprili uku. 4
  • Ayubu Alikataa Mawazo Yasiyofaa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ayubu Alikataa Mawazo Yasiyofaa
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Habari Zinazolingana
  • Ayubu Alilitukuza Jina la Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • “Mtumaini Yehova”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2022
  • Ayubu Alikuwa Nani?
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Kitabu Cha Biblia Namba 18—Yobu
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Aprili uku. 4

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | AYUBU 21-27

Ayubu Alikataa Mawazo Yasiyofaa

Ayubu anaziba masikio yake

Shetani anatumia uwongo kuwavunja moyo watumishi wa Yehova leo. Kitabu cha Ayubu kinaonyesha tofauti kati ya uwongo wa Shetani na hisia halisi za Yehova. Orodhesha Maandiko mengine yanayokuthibitishia kwamba Yehova anakujali.

UWONGO WA SHETANI

JINSI YEHOVA ANAVYOHISI

Mungu ni mwenye kudai mengi mno hivi kwamba hakuna jambo watumishi wake wanalofanya linalompendeza. Hakuna kiumbe anayeweza kumpendeza (Ayu 4:18; 25:5)

Yehova anathamini tunapojitahidi kwa unyenyekevu (Ayu 36:5)

Mungu huona wanadamu kuwa hawana faida (Ayu 22:2)

Yehova anakubali na kubariki kazi tunayofanya kwa uaminifu (Ayu 33:26; 36:11)

Mungu hajali hata ukiwa mwadilifu (Ayu 22:3)

Yehova anawalinda waadilifu (Ayu 36:7)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki