HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 142-150
“Yehova Ni Mkuu na wa Kusifiwa Sana”
Alipotambua kwamba ukuu wa Yehova hauna mipaka, Daudi alichochewa kumsifu Yehova milele
Kama Daudi, watumishi washikamanifu wa Yehova wanachochewa kuzungumza kwa ukawaida kuhusu matendo yake yenye nguvu
Daudi alikuwa na uhakika kwamba Yehova anatamani na ana uwezo wa kuwategemeza watumishi Wake wote