Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Septemba uku. 6
  • “Yehova Ni Mkuu na wa Kusifiwa Sana”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Yehova Ni Mkuu na wa Kusifiwa Sana”
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Habari Zinazolingana
  • Ukuu wa Yehova Hauchunguziki
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
  • Yehova Astahili Sifa ya Milele
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
  • Ni Nani Atakayemsifu Mfalme?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
  • Yehova Ni Mkuu Katika Upendo Mshikamanifu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Septemba uku. 6

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 142-150

“Yehova Ni Mkuu na wa Kusifiwa Sana”

145:1-5

Mbingu zenye nyota

Alipotambua kwamba ukuu wa Yehova hauna mipaka, Daudi alichochewa kumsifu Yehova milele

145:10-12

Kama Daudi, watumishi washikamanifu wa Yehova wanachochewa kuzungumza kwa ukawaida kuhusu matendo yake yenye nguvu

Familia katika nyakati za Biblia wakitazama mbingu zenye nyota

145:14

Mtu akinyoosha mkono wake na kushika mkono wa mtu anayemsaidia

Daudi alikuwa na uhakika kwamba Yehova anatamani na ana uwezo wa kuwategemeza watumishi Wake wote

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki