Septemba 26–Oktoba 2
ZABURI 142-150
Wimbo 134 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yehova Ni Mkuu na wa Kusifiwa Sana”: (Dak. 10)
Zb 145:1-9—Ukuu wa Yehova hauna mipaka (w04 1/15 10 ¶3-4; 11 ¶7-8; 14 ¶20-21; 15 ¶2)
Zb 145:10-13—Washikamanifu wa Yehova wanamsifu (w04 1/15 16 ¶3-6)
Zb 145:14-16—Yehova huwategemeza na kuwatunza washikamanifu wake (w04 1/15 17-18 ¶10-14)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Zb 143:8—Mstari huu unatusaidiaje kuishi kila siku kwa utukufu wa Mungu? (w10 1/15 21 ¶1-2)
Zb 150:6—Mstari wa mwisho wa Zaburi unakazia kwamba tuna wajibu gani? (it-2 448)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?
Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Zb 145:1-21
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) 1Pe 5:7—Fundisha Kweli.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Zb 37:9-11—Fundisha Kweli.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) fg somo la 9 ¶3—Msaidie mwanafunzi aone jinsi anavyoweza kutumia habari.
MAISHA YA MKRISTO
“Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Watie Moyo Wanaopendezwa Wahudhurie Mikutano”: (Dak. 15) Mazungumzo. Wape wote kutanikoni nakala ya mwaliko wa kuhudhuria mikutano, kisha uzungumzie kifupi ukurasa wa 2. Onyesha video ya mhubiri akimkaribisha kwenye mikutano mtu anayechukua magazeti kwa ukawaida. Malizia kwa kuzungumzia sanduku “Toleo la Oktoba: Mwaliko wa Kuhudhuria Mikutano.”
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 1 ¶11-20, chati “Ngano na Magugu” na chati “Kizazi”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 145 na Sala
Kikumbusho: Tafadhali sikilizeni muziki mara moja kabla ya kuanza kuimba.