HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 17-21
Mruhusu Yehova Afinyange Matendo na Kufikiri Kwako
Kubali kufinyangwa na Yehova
Yehova anafinyanga sifa zetu za kiroho kupitia mashauri au nidhamu
Tunahitaji kuwa tayari kuongozwa na kuwa watiifu
Yehova hatulazimishi tufanye mambo kinyume na mapenzi yetu
Mfinyanzi anaweza kuamua kufinyanga chombo kwa njia tofauti
Kwa kuwa Yehova ametupatia uhuru wa kuchagua, tunaweza kuchagua ama kukubali kufinyangwa naye au kukataa
Yehova anashughulika na wanadamu kulingana na jinsi wanavyopokea mwongozo wake