MAISHA YA MKRISTO
Yehova Hawezi Kusahau Upendo Wako
TAZAMENI VIDEO YEHOVA HAWEZI KUSAHAU UPENDO WAKO, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:
Ni matatizo gani yanayotokea uzeeni?
Ni sifa gani nzuri ambayo hujitokeza uzeeni?
Ikiwa wewe ni mzee, Mambo ya Walawi 19:32 na Methali 16:31 zinaweza kukutia moyo jinsi gani?
Yehova anawaonaje watumishi wake waliozeeka ambao hawawezi kutimiza mengi katika huduma?
Yehova anataka tufanye nini hata tunapozeeka?
Wazee wanawezaje kuwatia moyo vijana?
Ndugu au dada mzee alikutia moyo jinsi gani hivi karibuni?