Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Julai uku. 5
  • Yehova Anaposamehe, Je, Yeye Husahau?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Anaposamehe, Je, Yeye Husahau?
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Msamaha wa Yehova Unamaanisha Nini Kwako?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2025
  • Kubali Msamaha wa Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2025
  • Mungu Aliye “Tayari Kusamehe”
    Mkaribie Yehova
  • Je, Mungu Atanisamehe?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Julai uku. 5

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 18-20

Yehova Anaposamehe, Je, Yeye Husahau?

18:21, 22

  • Yehova anaposamehe dhambi zetu, hatatuhukumu au kutuadhibu kwa sababu ya dhambi hizo wakati ujao.

Mifano ifuatayo ya Biblia inatusaidia tuamini kwamba Yehova husamehe kikweli.

Mfalme Daudi

Mfalme Daudi akihuzunishwa na kosa lake
  • Alifanya makosa gani?

  • Alisamehewa kwa msingi gani?

  • Yehova alionyeshaje kwamba amemsamehe?

Mfalme Manase

Mfalme Manase akimsihi Yehova amsamehe
  • Alifanya makosa gani ?

  • Alisamehewa kwa msingi gani?

  • Yehova alionyeshaje kwamba amemsamehe?

Mtume Petro

Mtume Petro akiwa na huzuni baada ya kumkana Yesu
  • Alifanya makosa gani?

  • Alisamehewa kwa msingi gani?

  • Yehova alionyeshaje kwamba amemsamehe?

Ninawezaje kumwiga Yehova katika kusamehe?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki