HAZINA ZA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 39-41
Maono ya Ezekieli ya Hekalu Yanakuhusuje?
Vyumba vya walinzi na zile nguzo ndefu zinatukumbusha kwamba Yehova ana viwango vya juu vya ibada safi
Jiulize, ‘Ninaweza kudumisha viwango vya juu na vya unyoofu vya Yehova katika njia zipi?’