HAZINA ZA NENO LA MUNGU | HOSEA 8-14
Mpe Yehova Kilicho Bora Zaidi
Yehova anafurahi unapompa kilicho bora zaidi nawe pia unapata faida
UHUSIANO WAKO PAMOJA NA YEHOVA
Unamtolea Yehova dhabihu za sifa
Unapata msamaha wa Yehova, kibali chake, na urafiki wake.
Unajionea faida za kutii amri za Yehova, na unachochewa zaidi kumsifu
Ni kwa njia zipi ninaweza kumpa Yehova kilicho bora zaidi?