HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MALAKI 1-4
Je, Ndoa Yako Inampendeza Yehova?
Katika siku za Malaki, Waisraeli wengi walikuwa wakitalikiana kwa sababu zisizo na msingi. Yehova hakukubali ibada ya wale ambao waliwatendea wenzi wao kwa hila
Yehova aliwabariki wale waliowatendea wenzi wao kwa heshima
Wenzi wa ndoa leo wanawezaje kudumisha ushikamanifu katika . . .
mawazo yao?
macho yao?
maneno yao?