Desemba 25-31
MALAKI 1-4
Wimbo 131 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Je, Ndoa Yako Inampendeza Yehova?”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Malaki.]
Mal 2:13, 14—Yehova anachukia hila katika ndoa (jd 125-126 ¶4-5)
Mal 2:15, 16—Dumisha ushikamanifu kwa mwenzi wako wa ndoa (w02 5/1 18 ¶19)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Mal 1:10—Kwa nini matendo yetu ya ibada yanapaswa kuchochewa na upendo kwa Mungu na jirani bila ubinafsi? (w07 12/15 27 ¶1)
Mal 3:1—Mstari huu ulitimizwaje katika karne ya kwanza na katika siku za kisasa? (w13 7/15 10-11 ¶5-6)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo umepata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Mal 1:1-10
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) 1Ko 15:26—Fundisha Kweli.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Isa 26:19; 2Ko 1:3, 4—Fundisha Kweli. (Ona mwb16.08 8 ¶2.)
Hotuba: (Isizidi dak. 6) w07 12/15 28 ¶1—Kichwa: Tunaletaje Sehemu Yote ya Kumi Ghalani Leo?
MAISHA YA MKRISTO
“Upendo wa Kweli Ni Nini?”: (Dak. 15) Maswali na majibu.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 1
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 96 na Sala