Kuimba wakati wa ibada ya familia nchini Afrika Kusini
Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo
●○○ZIARA YA KWANZA
Swali: Ni nini kusudi la uhai?
Andiko: Mwa 1:27, 28
Ziara Inayofuata: Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba Mungu atatimiza kusudi lake?
○●○ZIARA YA KURUDIA YA KWANZA
Swali: Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba Mungu atatimiza kusudi lake?
Andiko: Yos 21:45
Ziara Inayofuata: Mungu ameahidi atafanya nini wakati ujao?
○○●ZIARA YA KURUDIA YA PILI
Swali: Mungu ameahidi atafanya nini wakati ujao?
Andiko: Ufu 21:4
Ziara Inayofuata: Tunapaswa kufanya nini ili tusikose baraka ambazo Mungu ameahidi?