Kijana akizoezwa kutanikoni
Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo
●○○ ZIARA YA KWANZA
Swali: Je, Mungu ndiye anayesababisha kuteseka kwetu?
Andiko: Ayu 34:10
Ziara Inayofuata: Ni nini chanzo cha kuteseka kwetu?
○●○ ZIARA YA KURUDIA YA KWANZA
Swali: Ni nini chanzo cha kuteseka kwetu?
Andiko: 1Yo 5:19
Ziara Inayofuata: Mungu atarekebishaje madhara yaliyosababishwa na Ibilisi?
○○● ZIARA YA KURUDIA YA PILI
Swali: Mungu atarekebishaje madhara yaliyosababishwa na Ibilisi?
Andiko: Mt 6:9, 10
Ziara Inayofuata: Ufalme wa Mungu ni nini?