Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Agosti uku. 4
  • “Waweke Rasmi Wazee”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Waweke Rasmi Wazee”
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
  • Habari Zinazolingana
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Waangalizi na Watumishi wa Huduma Huwekwa Rasmi Kitheokrasi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2001
  • Jinsi Ambavyo Kutaniko Limepangwa
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
  • Waangalizi Wanaochunga Kundi
    Tengenezo Linalofanya Mapenzi ya Yehova
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
mwb19 Agosti uku. 4

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | TITO 1–FILEMONI

“Waweke Rasmi Wazee”

Tit 1:5-9

Tito akikutana na akina ndugu katika kutaniko la Kikristo la karne ya kwanza

Tito alipewa mgawo wa “kuweka rasmi wazee katika jiji moja baada ya lingine.” Kielelezo hicho cha Biblia kinafuatwa leo waangalizi wa mzunguko wanapowaweka rasmi akina ndugu kutanikoni.

BARAZA LINALOONGOZA

Kwa kufuata kielelezo cha karne ya kwanza, Baraza Linaloongoza limewapa waangalizi wa mzunguko jukumu zito la kuweka rasmi wazee na watumishi wa huduma.

Kishale cha kwenda chini

WAANGALIZI WA MZUNGUKO

Kila mwangalizi wa mzunguko anapaswa kuchunguza kwa uangalifu na kusali kuhusu mapendekezo yanayotolewa na wazee, kisha aweke rasmi wanaume wanaostahili.

Kishale cha kwenda chini

WAZEE WALIOWEKWA RASMI

Hata baada ya wazee kuwekwa rasmi, lazima waendelee kutimiza matakwa yaliyo katika Maandiko.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki