HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 2 PETRO 1-3
“Weka Karibu Akilini Kuwapo kwa Siku ya Yehova”
Yehova atatekeleza haki upesi, kwa wakati alioweka rasmi. Je, matendo yetu yanaonyesha kwamba tuko tayari kwa ajili ya siku ya Yehova inayokuja?
Inamaanisha nini kujihusisha katika “matendo matakatifu ya mwenendo na vitendo vya ujitoaji-kimungu”?
Tunapaswa kuwa safi kiadili na kuitetea imani yetu
Tunapaswa kushiriki kwa ukawaida katika utendaji wa kiroho, iwe ni hadharani au faraghani