HAZINA ZA NENO LA MUNGU | UFUNUO 20-22
“Tazama! Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya”
Yehova anaahidi kufanya vitu vyote kuwa vipya.
“Mbingu mpya”: Serikali mpya itakayoleta hali za uadilifu duniani
“Dunia mpya”: Jamii ya wanadamu wanaojitiisha kwa utawala wa Mungu na kuishi kupatana na viwango vyake
“Vitu vyote kuwa vipya”: Kumbukumbu zote za kuteseka kimwili, kiakili, na kihisia zitabadilishwa na kuwa kumbukumbu zenye shangwe siku baada ya siku