HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MWANZO 20-21
Sikuzote Yehova Hutimiza Ahadi Zake
Yehova alithawabisha imani ya Abrahamu na Sara kwa kuwapa mwana. Baadaye, utii wao chini ya hali ngumu ulionyesha imani yao thabiti katika ahadi za Yehova kuhusu wakati ujao.
Utii wangu chini ya hali ngumu unaonyeshaje kwamba ninaamini ahadi za Yehova kuhusu wakati ujao? Ninawezaje kuimarisha imani yangu?