HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MWANZO 46-47
Waokolewa Kutokana na Njaa Kali
Leo, watu ulimwenguni wana njaa kali ya kiroho. (Amo 8:11) Kupitia Kristo Yesu, Yehova anaandaa chakula kingi cha kiroho chenye lishe.
Machapisho yanayotegemea Biblia
Mikutano ya kutaniko
Makusanyiko ya mzunguko na ya eneo
Machapisho yaliyorekodiwa
Video
JW.ORG
JW Broadcasting
Ninajidhabihu kwa njia gani ili nijilishe kwa ukawaida kwenye meza ya Yehova?