Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Juni uku. 4
  • Juni 15-21

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Juni 15-21
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Juni uku. 4

Juni 15-21

MWANZO 48-50

  • Wimbo 30 na Sala

  • Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Wenye Umri Mkubwa Wanaweza Kutufundisha Mengi”: (Dak. 10)

    • Mwa 48:21, 22—Yakobo alikuwa na imani kwamba wakati ujao wazao wake wangemiliki nchi ya Kanaani (it-1 1246 ¶8)

    • Mwa 49:1—Unabii ambao Yakobo alitoa alipokuwa karibu kufa ulionyesha imani yake (it-2 206 ¶1)

    • Mwa 50:24, 25—Yosefu alikuwa na imani kwamba ahadi za Yehova zingetimizwa (w07 6/1 28 ¶10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 49:19—Unabii wa Yakobo kumhusu Gadi ulitimizwaje? (w04 6/1 15 ¶4-5)

    • Mwa 49:27—Unabii wa Yakobo kumhusu Benjamini ulitimizwaje? (it-1 289 ¶2)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 49:8-26 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Video ya Ziara ya Kurudia: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji maswali yafuatayo: Wahubiri walishirikianaje kutoa ushahidi? Tunaweza kuigaje usadikisho wao tunapotoa ushahidi?

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 6)

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa kitabu Biblia Inatufundisha, na uanzishe Funzo la Biblia ukitumia sura ya 9. (th somo la 16)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 138

  • “Tunaweza Kujifunza Nini Kutoka kwa Wakristo Wenye Uzoefu?”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Kudumisha Umoja Wakati wa Marufuku.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 119

  • Umalizio (Isizidi dak. 3)

  • Wimbo 25 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki