Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Juni uku. 4
  • Wenye Umri Mkubwa Wanaweza Kutufundisha Mengi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Wenye Umri Mkubwa Wanaweza Kutufundisha Mengi
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
  • Habari Zinazolingana
  • Wathamini Ndugu na Dada Zetu Waaminifu Wenye Umri Mkubwa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2021
  • Yehova Anawatunza kwa Upendo Watumishi Wake Waliozeeka
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • ‘Chagua Wanaume Hodari Katika Kazi, Wanaoogopa Mungu’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1984
  • Thamini Nguvu za Vijana
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2021
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Juni uku. 4
Ndugu mwenye umri mkubwa akiwaonyesha wenzi wa ndoa picha.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MWANZO 48-50

Wenye Umri Mkubwa Wanaweza Kutufundisha Mengi

48:21, 22; 49:1; 50:24, 25

Wenye umri mkubwa huimarisha imani yetu katika Yehova na ahadi zake wanapotusimulia kuhusu ‘kazi za Yehova zinazostaajabisha’ ambazo wamejionea katika siku hizi za mwisho. (Zb 71:17, 18) Ikiwa kutaniko lenu limebarikiwa kuwa na ndugu na dada wenye umri mkubwa, waulize

  • Yehova aliwasaidiaje walipokabili changamoto huku wakimtumikia?

  • wameona ongezeko gani katika idadi ya wahubiri wa Ufalme?

  • wamepata shangwe kadiri gani walipopata uelewaji mpya wa kweli za Biblia?

  • wamejionea mabadiliko gani katika tengenezo la Yehova?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki