HAZINA ZA NENO LA MUNGU | KUTOKA 4-5
“Nitakuwa Pamoja Nawe Utakapokuwa Ukizungumza”
Musa alishinda woga wake kwa msaada wa Yehova. Tunaweza kujifunza nini kutokana na jinsi Yehova alivyoshughulika na Musa?
Tunapaswa kuepuka kukazia fikira kupita kiasi mambo ambayo hatuwezi kutimiza
Tunaweza kuwa na uhakika kwamba Yehova atatupatia kile tunachohitaji ili kutimiza migawo yetu
Imani katika Mungu ndiyo dawa ya kuwaogopa wanadamu
Yehova amenisaidiaje kuendelea kuhubiri hata wakati ambapo ni vigumu kufanya hivyo?