Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Septemba uku. 6
  • Mchango wa Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mchango wa Yehova
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
  • Habari Zinazolingana
  • Idara ya Ulimwenguni Pote ya Usanifu-Majengo na Ujenzi
    2015 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Kazi ya Ujenzi Inayomletea Yehova Sifa
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
  • Hapa Ni Mahali Petu pa Ibada
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Upanuzi wa Haraka Wahitajiwa kwa Sababu ya Ongezeko Kubwa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2002
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Septemba uku. 6
Ndugu akitumbukiza mchango katika sanduku la michango.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | KUTOKA 29-30

Mchango wa Yehova

30:11-16

Hema la ibada lilipojengwa, watu walipewa pendeleo la kutoa michango ya kifedha ili kutegemeza ibada ya Yehova, iwe walikuwa matajiri au maskini. Sisi tunaweza kumtoleaje Yehova mchango leo? Njia moja ni kwa kutegemeza kifedha Majumba ya Ufalme, Majumba ya Kusanyiko, ofisi za utafsiri, na ofisi za Betheli, kutia ndani majengo mengine yaliyowekwa wakfu kutumiwa katika ibada ya Yehova.

Tunajifunza nini kutokana na maandiko yafuatayo kuhusu kutoa michango ya kifedha ili kutegemeza ibada ya kweli?

  • 1Nya 29:5

  • Mk 12:43, 44

  • 1Ko 16:2

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki