Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb21 Januari uku. 12
  • Yehova Anawapanga Watu Wake

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Anawapanga Watu Wake
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Habari Zinazolingana
  • Je, Mtu Mmoja Anaweza Kubadili Mambo?
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Jinsi Yehova Anavyowaongoza Watu Wake
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Je, Unajifunza Kutokana na Makosa Yako?
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
mwb21 Januari uku. 12

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Yehova Anawapanga Watu Wake

[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Hesabu.]

Waisraeli walipiga kambi kulingana na makundi ya makabila matatu (Hes 1:52, 53; w94 12/1 9 ¶4)

Huenda kambi yote ya Waisraeli ilikuwa na jumla ya watu 3,000,000 au zaidi (Hes 2:32, 33; it-1 397 ¶4)

Yehova anataka watu wake wamwabudu kwa mpango. Taifa la Israeli lilimwabudu hivyo, nasi tunamwabudu vivyo hivyo leo.—1Ko 14:33, 40.

Mwonekano wa mpangilio wa kambi ya Waisraeli. Hema la ibada liko katikati. Karibu na hema la ibada kulikuwa na familia za kabila la Walawi: Haruni upande wa mashariki, Wakohathi upande wa kusini, Wagershoni upande wa magharibi, na Wamerari upande wa kaskazini. Makabila 12 ya Waisraeli yako mbali zaidi. Upande wa mashariki kuna kabila la Isakari, Yuda, na Zabuloni. Upande wa kusini kuna kabila la Gadi, Rubeni na Simeoni. Upande wa magharibi kuna kabila la Benjamini, Efraimu, na Manase. Upande wa kaskazini kuna kabila la Naftali, Dani, na Asheri.

JIULIZE, ‘Ninaweza kuonyeshaje kwamba ninaunga mkono tengenezo la Yehova kikamili?’

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki