Makuhani wakibeba Sanduku la Agano kuingia kwenye Mto Yordani
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Yehova Hubariki Matendo ya Imani
Huenda mwongozo wa Yehova usionekane kuwa wenye hekima kwa maoni ya mwanadamu (Yos 3:12, 13; it-2 105; ona picha kwenye jalada)
Wanaume waliowekwa rasmi wanapaswa kuweka mfano wa kufuata maagizo (Yos 3:14; w13 9/15 16 ¶17)
Yehova hubariki matendo ya imani (Yos 3:15-17; w13 9/15 16 ¶18)
Tunampa Yehova jambo la kubariki tunapochukua hatua ya kwanza kuhubiri, hata ikiwa afya au hali yetu haituruhusu kutimiza mengi.