HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Mngojee Yehova kwa Subira
Daudi alikuwa na nafasi ya kukomesha jaribu lake (1Sa 24:3-5)
Daudi aliangalia hali yake kwa maoni ya Yehova na akajizuia (1Sa 24:6, 7)
Daudi alikuwa na imani kwamba Yehova angesuluhisha mambo (1Sa 24:12, 15; w04 4/1 16 ¶8)
Kama Daudi, tunapaswa kumngojea Yehova kwa subira badala ya kutumia njia zisizo za kimaandiko kukomesha majaribu yetu.—Yak 1:4; w04 6/1 22-23.