Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Machi uku. 13
  • Majaribu Yote Yana Mwisho

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Majaribu Yote Yana Mwisho
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova Anatusaidia Kukabiliana na Majaribu Yetu
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Endelea Kuwa Mwenye Subira
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
  • Je, Uko Tayari Kungoja kwa Subira?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
  • Mngojee Yehova kwa Subira
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
mwb22 Machi uku. 13
Picha: Picha kutoka kwenye video “Watu Wenye Umoja Katika Ulimwengu Uliogawanyika.” 1. Umati wa ndugu na dada weusi peke yao wakiwa kwenye kusanyiko. 2. Kikundi cha wazee weusi na weupe wakiwa na wake zao. 3. Ndugu na dada wa umri na rangi mbalimbali wakishiriki mahubiri ya hadharani.

MAISHA YA MKRISTO

Majaribu Yote Yana Mwisho

Majaribu yanaweza kutuvunja moyo kwa urahisi, hasa yanapoendelea kwa muda mrefu. Daudi alijua kwamba jaribu lake kumhusu Mfalme Sauli hatimaye lingefikia mwisho na kwamba angekuwa mfalme kama Yehova alivyoahidi. (1Sa 16:13) Imani ya Daudi ilimsaidia kuwa na subira na kumngojea Yehova.

Tunapokuwa chini ya jaribu, huenda tukaweza kutumia werevu, ujuzi, au uwezo wa kufikiri kubadili hali yetu. (1Sa 21:12-14; Met 1:4) Hata hivyo, hali fulani ngumu zitaendelea kuwepo hata baada ya kufanya yote tuwezayo kupatana na kanuni za Biblia. Katika visa kama hivyo, tunapaswa kuwa na subira na kumngojea Yehova. Hivi karibuni atakomesha mateso yetu yote na “[kufuta] kila chozi” kutoka katika macho yetu. (Ufu 21:4) Iwe kitulizo kitakuja kwa sababu Yehova ameingilia kati au kwa sababu nyingine, jambo moja ni hakika: Majaribu yote yana mwisho. Jambo hilo hakika linaweza kutufariji.

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA WATU WENYE UMOJA KATIKA ULIMWENGU ULIOGAWANYIKA, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

  • Wakristo fulani kusini mwa Marekani walikabili changamoto zipi?

  • Walionyeshaje subira na upendo?

  • Waliendeleaje kukazia fikira “mambo muhimu zaidi”?​—Flp 1:10.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki