HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Imarisha Tamaa Yako ya Kufanya Mapenzi ya Mungu
Yehova alimkataa Sauli kwa sababu alikosa kutii (1Nya 10:13, 14)
Yehova alimchagua Daudi awe mfalme badala ya Sauli (1Nya 11:3)
Tofauti na Sauli, Daudi alikubali kuongozwa na sheria na kanuni za Yehova (1Nya 11:15-19; w12 11/15 6 ¶12-13)
Daudi alipenda kufanya mapenzi ya Mungu. (Zb 40:8) Tunaweza kusitawisha tamaa kama hiyo ya kufanya yaliyo mema kwa kujifunza kuona mambo kama Yehova anavyoyaona.—Zb 25:4; w18.06 17 ¶5-6